 |
| awakweli wabunifu |
 |
| enzi za mwalimu |
Kulikuwa na class of 92 enzi hizo za kina paulo scholesy,David
beckham,ryan giggs na wengineo,soccer pundit mmoja anaitwa Alan Hansen
akamwambia Ferguson kuwa ''YOu will win nothing with kids'' huo ulikuwa
mwaka 95-96.msimu huo manchester wakatwaa taji na mwaka unaofuatia,sasa
je hii class of 2011 ya babu fergie
toto bishi hili
Dah kwa style hii tuna kazi kweli kweli katika hii nchi,huwa nakaa
nawaza hii miaka minne iliyobaki itaisha lini maana......nshachoka!
kumekuwa na tetesi kuwa will smith aka big will style ame split na mkewe
jada smith pinket,lakini wanandoa hawa ambao nimiongoni mwa couple
wanaotengeneza pesa nyingi kwa mwaka wamekanusha hiyo kitu!
HAWA NAO SIJUI VP
No comments:
Post a Comment
Never Ever fuck with me got it men by @#619innoweezy